Posts

Showing posts from September, 2019
Image
FAHAMU  KUHUSU MFUMO WA UME'NGENYAJI  WA CHAKULA  NA TATIZO  LA  KUPATA  CHOO (COSTIPATION) Je  wajua kwamba  vyakula tunavyokula  inatakiwa  viwe  na  fiber nikimaanisha nyuzinyuzi?( Mbogamboga  na  Matunda  ni mfano  vyakula vyenye  fiber). * ukiwa  huna fiber  mwilini ni  rahisi - kutokupata  choo ( constipation) - kunenepa ovyo ( kwasababu ya  kula hovyovyo) na uzito umekutwa ni janga  la  kitaifa - kupata  gout ( magoti  kuwaka moto - rahis  kupata kisukari ( causes  kubwa  ni  constipation) -  kupata  cancer  - high blood  pressure,( ikiwemo  kupooza * mawe  kwenye  kongosho na kibofu) * Bawasiri ( kupata Nyama sehemu ya   haja  kubwa        Fahamu  madhara  ya bawasiri      @ ni  rahisi  kupata  cancer ya...