FAHAMU  KUHUSU MFUMO WA UME'NGENYAJI  WA CHAKULA  NA TATIZO  LA  KUPATA  CHOO (COSTIPATION)

Je  wajua kwamba  vyakula tunavyokula  inatakiwa  viwe  na  fiber nikimaanisha nyuzinyuzi?( Mbogamboga  na  Matunda  ni mfano  vyakula vyenye  fiber).

* ukiwa  huna fiber  mwilini ni  rahisi
- kutokupata  choo ( constipation)
- kunenepa ovyo ( kwasababu ya  kula hovyovyo) na uzito umekutwa ni janga  la  kitaifa
- kupata  gout ( magoti  kuwaka moto
- rahis  kupata kisukari
( causes  kubwa  ni  constipation)
-  kupata  cancer 
- high blood  pressure,( ikiwemo  kupooza
* mawe  kwenye  kongosho na kibofu)

* Bawasiri ( kupata Nyama sehemu ya   haja  kubwa 
      Fahamu  madhara  ya bawasiri 
    @ ni  rahisi  kupata  cancer ya  utumbo
   @ ulcers (system  nzima  inashindwa  kutoa  uchafu)
   @ appendex 

 * ujauzito ni sababu  nyingine  ya  mtu  kutokupata  choo .

SULUHISHO:
* Kama unakula mara tatu  kwa siku  basi chooni  Nenda  mara tatu pia ( choo  kitoke na fiber  , nyuzinyuzi  na cha kushine)

* kula  matunda  na  mboga  mboga ( matunda kula peke yake  na  Mbogamboga peke yake au chakula
  Usile  chakula  pamoja  na matunda kwa wakati  mmoja 
Kama  unataka cancer  endelea kula matunda na chakula kwa pamoja

* kunywa  maji ya  kutosha ( angalizo  ,, usipendelee kunywa  maji  baada  ya  kula, kunywa maji  kabla ya  kula). Hii itakusaidia  kutokupata  tatizo  la constipation

* fanya  mazoezi.
Kutokufanya  mazoezi  inapelekea  pia  watu wengi kupata tatizo la choo

* punguza msongo wa mawazo

Kumbuka  mwili wako hauna tofauti  na  gari so  kila kiungo  chako  mwilini  kinategemeana  na kingine  piaa  jukumu  la kunywa maji,, kula mbogamboga  na matunda, kulala  vizuri  na kufanya mazoezi  ni  jukumu lako
Na mwisho kabisa  tafuta njia ya my supplements (nikimaanisha  mbadala  wa kutumia virutubusho  ) kwa sababu  vyakula  tunavyokula havijitoshelezi  na havina virutubusho  vya kutosha.
Kwa mawasiliano  zaidi  whatsup  or call 
+255 714190589

Comments

Popular posts from this blog

AFYA YA UZAZI WA MWANAUME

IJUE AFYA YA MWANAUME

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI